Mwandishi wetu
Wito huyo
umetolewa na shekhe mkuu mkoa
wa Lindi Mohamedi Mshangani wakati
alipokuwa anazungumza na
viongozi wa Dini ,watu maharufu
vijana na makundi ya
akina mama kwenye semina ya siku
tatu ya masuala ya mbalimbali ikiwemo
uzazi wa mpango,na afya iliyoandaliwa
na baraza la waislamun Tanzania Bakwata
Mshangani alisema kuwa
ni jambo jema kwa wazazi kutoa
malenzi bora kwa
watoto sambamba na kuwapigania
wapate elimu ili kuwaandaa kuwa viongozi na
raia wema wa baadaye.
"Mtoto mwema anatengezwa na wazazi, futilieni mwenendo na muwachunguze wa watoto wenu" ,,, alisema shekhe Mshangani
Aidha kwenye
mafunzo hayo washiriki
walijifunza mambo mbalimbali
ikiwemo ya madhara ya
mimba za utotoni,faida ya
uzazi wa mpango.
0 Comments